28th March, 2018
Tume ya uwiano na utangamano wa kitaifa sasa inaelezea wasiwasi na ongezeko la mauaji ya halaiki katika eneobunge la Likoni kaunti ya Mombasa. Kwenye ripoti yake mpya, tume hiyo pia inasema asilimiakubwa ya makundi yanayowahangaisha wakazi kiusalama yanachochewa na wanasiasa.