Watu watatu wameaga dunia katika ajali iliyotokea kwenye barabara kuu Karatina Nyeri.
24th March, 2018
Watu watatu wameaga dunia katika ajali iliyo tokea kwenye barabara kuu Karatina ? Nyeri. Ni ajali iliyohusisha gari moja la serikali na lori la kubeba soda la kampuni ya cocacola