Kikosi cha wanariadhaa waendelea na matayarisho ya mashindano ya jumuiya ya madola
23rd March, 2018
Licha ya changamoto wanzopitia wanariadha wanaotarajiwa kuiwakilisha Kenya katika mashindano ya jumuiya ya madola mwezi ujao nchini australia, wanayo matumaini ya kuandikisha matokeo mazuri. Rotuno Kwonyike anaarifu zaidi.