23rd March, 2018
Tunaanzia dira ya wiki awamu ya pili uamuzi uliofanyika jana katika mahakama ya Bungoma kuhusu kesi ambapo mama mmoja alidhulumiwa hospitalini akijifungua. Mahakama iliiagiza alipwe ridhaa ya shilingi milioni 2 unusu. Willy Lusige alitaka kupata hisia za moja kwa moja za mama huyo Josephine Majani.