Vinara wa NASA wakutana ili kujadili hatma ya Wetangula
22nd March, 2018
Maseneta wa muungano wa NASA wataelekea kwenye mkutano faraghani kujadili hatma ya seneta wa Bungoma Moses Wetangula baada ya kubanduliwa kwenye nafasi ya kiongozi wa walio wachache katika bunge la seneti.