×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mahakama ya Milimani yatupilia mbali uamuzi wa mitihani ya KCSE ya shule ya upili ya Chebuyusi

21st March, 2018

Furaha imetanda leo katika shule ya upili ya Chebuyusi baada ya mahakama ya Milimani kutupilia mbali uamuzi wa baraza la mitihani nchini KNEC kwa madai kuwa shule hiyo ilihusika na ulaghai wakati wa mtihani huo. Sasa baraza hilo limepewa makataa ya siku kumi na nne kufanya tena uchunguzi. Matokeo yaliyozuiliwa na baraza la mtihani nchini yalionyesha kuwa Chebuyusi ilikuwa ya kwanza katika kaunti ya Kakamega, ya pili katika uliokuwa mkoa wa Magharibi na ya kumi na sita kitaifa. Wazazi na wanafunzi waliwasilisha kesi mahakamani kupinga maamuzi ya KNEC katika kesi iliyosikizwa na jaji wa mahakama kuu George Odunga

.
RELATED VIDEOS