×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wataueliwa zaidi kwenye serikali ya Rais Uhuru Kenyatta huku Noordin Hajji akichaguliwa mkurugenzi

13th March, 2018

Rais Uhuru Kenyatta amefanya uteuzi zaidi kwenye baraza lake la mawaziri huku pia akimteua mkurugenzi wa idara ya ujasusi Noordin Mohammed Haji kuwa mkurugenzi mkuu mpya wa mashtaka ya umma. Noordin anachukua wadhifa huo uliokuwa ukishikiliwa na Keriako Tobiko, ambaye sasa ni waziri wa mazingira. Rais mpya amewateua makatibu wengine zaidi pamoja na mabalozi.

.
RELATED VIDEOS