13th March, 2018
Majonzi yameikumba famlia moja katika eneo la Kakamega baada binti wao wa miaka 9 aliyetoweka kutojulikana aliko. Wakaazi wakiandamana kuelezea ghadhabu zao. Shirlene Mwanzia mwenye umri wa miaka 9 alitoweka Jumapili alipokuwa anacheza na nduguze wawili nje ya nyumba yao. Akitafutwa kote asipatikane hadi wa leo.