23rd February, 2018
Mwanamke mmoja anaripotiwa kumdunga kwa kisu na kumuua mke mwenza kufuatia mzozo wa familia huko Rongo. Inadaiwa aliyetekeleza mauaji hayo alifanya hivyo kutokana na hisia kwamba mumewe alimpenda zaidi mke mwenza. Pia inadaiwa alikuwa amemuonya mara kadhaa kutomtembelea mama mkwe. Nicholas Wambua anaripoti.