16th February, 2018
Serikali imehiumizwa kutoa orodha kamili ya Wananchi wakongwe wanaostahili kufaidi msaada wa kulipwa posho ya kujikimu kila mwezi. Haya yalisemwa katika kijiji cha Kayole mjini Naivasha baada ya mzee mmoja aliyeishi msituni kwa jumla ya miaka kumi kuokolewa.