×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mkenya pekee kwa mashindano ya olmpiki ya thelujini Sabrina Wanjiku ashiriki katika mashindano

15th February, 2018

Mkenya pekee katika mashindano ya olimpiki ya nyakati za baridi Sabrina Wanjiku Simader alishiriki mashindano yake ya kwanza hapo jana katika kitengo cha giant slalom. Sabrina aliye na umri wa miaka 19 aliorodheshwa kwenye nafasi ya 59 akiandikisha muda wa dakika 1 sekunde 27. Watelezaji 67 pekee kati ya 81 walioshiriki walifanikiwa kumaliza. Sabrina atajitosa thelujini tena hapo kesho katika fainali kabla ya kushiriki tena siku ya jumamosi katika kitengo cha super giant. 

.
RELATED VIDEOS