14th February, 2018
Mlinda lango wa timu ya mpira wa magongo ya Telkom Cynthia Akinyi ametuzwa mwanamichezo bora wa mwezi Januari Cynthia ambaye nimchezaji wa saba kupokea tuzo hiyo amewapiku wachezaji tenisi Ryan Randiek na sneha kotecha pamoja na mwanabondia Nick Okoth, mchezaji huyo aliye na umri wa miaka 24 alikuwa nguzo muhimu katika kampeni ya Telkom kwenye mashindano ya klabu bingwa afrika ambapo alifungwa mabao amwili tu kuwasaidia kumaliza kwenye nafasi ya pili.?