12th February, 2018
Serikali ya kaunti ya Kitui imeahidi kujenga viwanja viwili vyenye viti zaidi ya elfu tano. Waziri wa maswala ya michezo na utalii kutoka kaunti ya Kitui Patrick Koki alidokeza kuwa kuna mikakati ya kuboresha bustani ya Musila ambapo timu zingine hufanyia mazoezi.