8th February, 2018
Afc Leopards wanapania ushindi dhidi ya Fosa Juniors ya Madagascar siku ya jumamosi ili wajipe matumaini ya kufuzu raundi ya pili ya dimba la mashirikisho barani Afrika. Mechi hiyo ya mkondo wa kwanza itachezwa uwanjani Bukhungu katika kaunti ya Kakamega.