×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Marufuku ya gavana wa Kitui Charity Ngilu yazidi kuzoatata baada ya wanabiashara kulalamika

8th February, 2018

Mafuruku ya kuchoma makaa iliyotolewa na gavana wa Kitui Charity Ngilu imeonekana kuendelea kuzua utata katika kaunti hiyo, wanaojihusisha na biashara ya makaa kaunti ya Kitui wamejipata taabani kwani wakaazi waliokuwa na gadhabu waliteketeza lori iliyokuwa ikisafirisha makaa kuelekea nairobi katika eneo la kanyonyo kwenye barabara kuu ya Thika? Garissa. Mary Kilobi ana zaidi.

.
RELATED VIDEOS