×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Chama cha wahariri kinaelezea wasiwasi kwa kile kinasema ni njama ya Jubilee kukandamiza uhuru wao

29th January, 2018

Chama cha wahariri nchini kinaelezea wasiwasi kwa kile kinasema ni njama ya serikali ya Jubilee kukandamiza Uhuru wa vyombo vya habari nchini. Kwenye taarifa iliyotolewa baada ya mkutano uliofanyika hapa Nairobi, wahariri hao chini ya uenyekiti wa Linus Kaikai wamekosoa mkutano unaoripotiwa kuandaliwa katika ikulu ya nairobi ambako baadhi ya wahariri walihudhuria ikulu. Kwenye mkutano huo, Rais Uhuru anaripotiwa kutisha kufunga baadhi ya vyombo vya habari na kubatilisha leseni iwapo watapeperusha  hafla ya uapisho wa Raila Odinga na Kalonzo Musyoka 

.
RELATED VIDEOS