×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Muungano wa upinzani NASA wasema kuwa mipango ya kumuapisha Raila Odinga kama rais imo mbioni

26th January, 2018

Muungano wa upinzani, NASA, umetoa matokeo yake kuhusu uchaguzi wa tarehe nane mwaka uliopita na kudai kwamba Raila Odinga alishinda kinyangányiro hicho lakini akapokonywa ushindi. Kulingana na matokeo hayo, Raila Odinga alipata kura milioni 8.1, huku Uhuru Kenyatta akipata kura milioni 7.9. Aidha, kaimu mwenyekiti wa tume ya IEBC Connie Maina amepuzilia mbali matokeo hayo na kuyataja kama hekaya za NASA.

.
RELATED VIDEOS