×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jaji mkuu David Maraga atoa wito kwa wabunge wa kamati ya sheria

26th January, 2018

Jaji mkuu David Maraga ametoa wito kwa kamati ya sheria bungeni kupitisha mswada wa kutengwa fedha zaidi kwa idara ya mahakama ili kuboresha utendakazi. Maraga ambaye alifungua rasmi warsha ya uhamasiho kwa wabunge wa kamati hiyo jijini Mombasa alitangaza kuwa tayari idara ya mahakama inanuia kutumia teknolojia katika shuguli zake kama vile usajili wa kesi na kuhifadhi stakabadhi za kesi. Maraga aidha alikemea ufisadi ambao alisema ni hatari kwa usimamizi wa haki. 

.
RELATED VIDEOS