×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mbunge William Chepkut ajipata pabaya baada ya wakaazi wa Uasin Gishu wakiandamana

26th January, 2018

Siku moja baada ya mauaji tatanishi ya mwanariadha Tirop Kesio na mwenzake katika eneo Kipkorogot kaunti ya Uasin Gishu mapema leo mbunge wa Ainabkoi William Chepkut amejipata kwenye ghadhabu ya polisi waliomrushia vitoza machozi katika jitihada za kuwatawanya waandamanaji waliofunga barabara kuu ya Eldoret?Eldama ravine. Elvis Kosgei na maelezo zaidi

.
RELATED VIDEOS