22nd January, 2018
Msichana mmoja eneo la Loitoktok, kaunti ya kajiado anayeugua ugonjwa wa matende kwa kimombo elephantiasis amelazimika kukatiza taaluma yake ya ualimu kutokana na madhila ya ugonjwa huo. Penina Wanjiku amejipata katika maisha ya ombaomba baada ya uvimbe huo kuzidi kumfanya kushindwa kujitegemea. Mwana dada huyo wa umri wa makamo sasa anahitaji kufanyiwa matibabu ya dharura lakini ukosefu wa fedha sasa unamkosesha usingizi hii ukaweka maisha yake hatarini……