22nd January, 2018
Ofisi ya kiongozi wa mashitaka ya umma hivi leo imeanzisha shughuli ya kuangalia faili za kesi kadhaa katika korokoro ya hapa Nairobi. Hatua hiyo ni kutafuta njia ya kuharakisha kesi zinazojikokota ili kuhakikisha kwamba faili hizo zinafungwa. Ni shughuli inayotegemewa kumalizika siku ya alhamisi wiki hii. Naibu kiongozi wa mashitaka.