19th January, 2018
Mamia ya wafanyibishara huko Kisii wamepata hasara kubwa baada ya mmoto mkubwa kuharibu vibanda vyao. Baadhi ya wafanyibishara walilamika kuwa wamepoteza fedha nyingi na biashra nyingi zilikuwa zimefadhiliwa na mikopo kutoka katika taasisi za kifedha. Ray Pollo anaarifu