19th January, 2018
Msimu wa mwaka 2017 wa ndondi nchini ulikuwa na mvutano mwisho baada ya kikosi cha polisi kunyan'ganywa taji kufuatia udanganyifu na ni pigo mwaka huu baada ya Sportpesa kuondoa ufadhili wao. Hata hivyo, kikosi cha ndondi cha Rongai kinaimani kuwa kitakuwa na msimu utakaofana mwaka 2018. Moses Wakhisi na taarifa hio kwa kina.