17th January, 2018
Baada ya kuandikisha historia kuwa timu ya kwanza ya shule ya upili kujikatia tiketi ya kushiriki ligi ya daraja la pili nchini. Timu ya soka ya shule ya upili ya Kakamega almaarufu Green Commandoes wanapania kuzidi kushamiri na kupaa hata zaidi. Moses Wakhisi anatupa taarifa hiyo kwa kina