×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafugaji Nakuru watumia pombe ya busaa kutibu ng'ombe wao

17th January, 2018

Mtazamaji je wafamu kuwa pombe ya busaa ni dawa ya maradhi fulani  fulani kwa mifugo? Haya yanashuhudiwa huko Nakuru amabpo wafugaji wafugaji wameamua kutumia pombe aina ya busaa kutibu maradhi ya miguu na midomo kwa mifugo wao.Hata hivyo vigngozi wa maeneo hayo sasa wana hofu kwamba kusambaa kwa busaa na matumizi yake kunaweza kukithi mipaka na kukosa kudhibitiwa. Wafugaji hao wanalilia hasara kutokana na ugonjwa huo hatari kwa ng’ombe wao na wanailaumu serikali ya kaunti ya nakuru kwa kukosa kuchukua hatua za dharura ili kukabiliana na ugonjwa huo wanaodai utawaacha masikini hohe hahe.

.
RELATED VIDEOS