16th January, 2018
Gavana wa Nyeri Mutahi Kahiga amezindua mpango wa kusafaisha mji. Hata hivyo, amekiri hali mbovu ya usafi imesababishwa na ukosefu wa fedha. Ameahidi pia kwamba usafishaji wa miji utaenezwa kutoka Nyeri mijini hadi viungani mwa mji huo.