14th January, 2018
Watu wanne wamefariki baada ya basi walimokuwa
Wakisafiria kugongana na lori katika barabara ya garissa –
Wajir. Watu wengine kadhaa walijeruhiwa kwenye
Ajali hiyo iliyotokea mwendo wa saa saba usiku wa kuamkia
Leo. Baadhi ya waliopata majeraha mabaya walisafirishwa
hadi katika hospitali hapa Nairobi huku wengine wakitibiwa
katika hospitali ya eneo la Garissa. Haikubainika mara moja
ni kwa nini basi hilo lilikuwa likisafirisha abiria nyakati za
usiku. Serikali kwa sasa imepiga marufuku usafiri wa usiku
kwa