×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kikosi cha raga cha Nakuru RFC wafanya mabadiliko kwa kikosi mbele ya mchuano dhidi ya Black Blad

12th January, 2018

Kikosi cha raga cha Nakuru RFC kimefanya mabadiliko ya wachezaji watatu kwenye kikosi chao kilicho lazwa na KCB, huku wakijiandaa kwa mechi yao muhimu dhidi ya Blak Blad siku ya jumamosi. Wachezaji Sammy Warui, Philip Kwame na Cassius Omollo wamekosa kujumuishwa katika kikosi chao huku emmanuel mboya, Steve Wamae na Gramwel Bunyasi wakichukua nafasi zao.  Bada ya kulazwa 48?20 dhidi ya Quins na 70?16 dhidi ya KCB, wapinzani wa Nakuru ambao ni Blad watakuwa wakijaribu kutafuta ushindi kwenye mechi hio. Hata hivyo nakuru wamekosa kushinda mechi tatu zilizo pita hii ikiwa ni baada ya kulaza Kisii RFC na ari yao ni kuwa na matokeo mema.

.
RELATED VIDEOS