×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakilishi wa wodi Makueni wawacha huru baada ya kutiwa nguvuni katika shule ya upili ya St Joseph's

12th January, 2018

Wawakilishi wa wadi watano waliofikishwa katika mahakama ya Makueni baada ya kutiwa  nguvuni  na polisi hapo jana kwa kumzuia mwalimu mkuu mpya wa shule ya upili ya St. Joseph   wameachiliwa  kwa dhamana watano hao walitiwa nguvuni katika shule ya upili ya wasichana ya St. Joseph kibwezi kwa  kumkataza mwalimu mkuu mpya rose kiragu  kuanza  kazi . Watano hao ni Nicholas Maitha , wa wadi ya Thange, Jades Kalunda  wa Kikumbulyu south, Mirriam Musyoka na Janet Ngina. Kesi hiyo  itatajwa  tarehe kumi na tano mwezi ujao . 

.
RELATED VIDEOS