Mohammed Abdi atapoteza kiti cha gavana cha Wajir baada ya koti kufutilia mbali ushindi
12th January, 2018
Gavana wa kaunti ya Wajir Mohammed Abdi atakuwa wa kwanza kupoteza kiti chake baada ya mahakama kuu ya Milimani mjini Nairobi kufutilia mbali ushindi wake kwa msingi kwamba hakuwa na cheti halali cha shahada.