12th January, 2018
Wake na kusema kuwa gavana mike sonko hajawa na imani
naye. Igathe amemwandikia barua gavana Sonko
na kuwatakia heri wakazi wa Nairobi. Igathe anajiuzulu kabla
hajafikisha miezi sita. Sonko alichaguliwa na igathe katika
tiketi ya chama cha Jubilee baada ya kumshinda aliyekuwa
gavana evans kidero. Igathe anaondoka afisini siku chache
tu baada ya mahakama kuu kutupilia mbali kesi ya kupinga
ushindi wa mike Sonko katika uchaguzi wa agosti nane mwaka
uliopita. Haijulikani sababu haswa za Igathe kujiuzulu lakini
duru zinaarifu kuwa hawakuwa wakipatana kikazi na sonko.