8th January, 2018
Watu waliofariki katika ajali ya barabarani baada ya basi walimokuwa wakisafiria kubingiroia mara kadhaa katika eneo la mwatate kaunti ya Taita Taveta lilipokosa mwelekeo abiria 26 waliojeruhiwa wanendelea kupata matibabu katika hospitali ya rufaa ya moi . Wengine kumi waliopata majeraha madogo walitibia katika hospitali za wundanyi na mwatate na kuruhusiwa kwenda nyumbani . Basi hilo lilikuwa limewabeba wafanyikazi wa halmashauri ya bandari nchini ambao walikuwa wakienda kuhudhuria mazishi ya mmoja wao.