×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi kutoka county ya mashariki wasisitiza kwa kuondolewa kwa wafugaji wa kaskazini mwa Kenya

8th January, 2018

Viongozi kutoka kitui mashariki wamesisitiza kuwa watahakikisha kuwa wanawaondoa wafugaji wanaotoka kasikazini mwa kenya  wanaoishi katika  mpaka wa Kitui. Haya yanajiri huku kukiwa na madai kuwa wafugaji wanaotoka wajiri na mandera walizivamia zaidi ya familia kumi na kuwajeruhi watu kutokana na mzozo wa malisho ya mifugo. Akizungumza katika eneo la malalani mbunge wa eneo hilo nimrod mbai amedai kuwa wafugaji hao ni tishio kubwa kwa wenyeji na itakuwa bora ikiwa wangeondoka mara moja. .naibu kamishna wa kaunti anayesimamia eneo la Mutito   Benjamin Nzioka pia alitoa ushauri huo. 

 

.
RELATED VIDEOS