29th December, 2017
Tohara ya mtoto wa kike ni haramu lakini imekuwa ikitekelezwa kisiri katika maenaeo mengi nchini lakini kufuatia juhudi za kukomesha tohara hiyo katika kaunti ya Elgeyo Marakwet, sasa jamii imeonelea vywema kutafuta mbinu nyenginezo za wasichana kutambulika kuwa watu wazim,a elvis kosgei na taarifa hiyo.