23rd November, 2016
Mwanariadha na bingwa wa olimpiki Wilson Kipsang sasa ametangaza rasmi kujitosa katika kinyang’anyiro cha ubunge katika eneo la Keiyo kusini, Kipsang amedai kwamba ana maazimio ya kubadili riadha humu nchini haswa baada ya uongozi mbaya kutia kitanzi kamati ya olimpiki nchini huku madai ya ufisadi yakiwaandama.