15th November, 2016
Stanley Okumbi ameendeleza safu yake ya kutopoteza mechi akiwa mkufunzi wa Harambee stars kufika nane; hii ikiwa ni baada ya kuhakikisha kuwa, kenye imetwaa ushindi wa 1-0 dhidi ya Liberia katika mechi ya kirafiki. Kenya ilitawala mechi hiyo lakini bao la kipekee likawa ni lake Paul Were katika dakika ya hamsini na mbili kwenye mechi hiyo.