×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTN Leo: Viongonzi Samuel Arama na David Gikaria waongoza wakaazi wa Nakuru kuandamana, 10/11/16

10th November, 2016

Wabunge wawili mjini Nakuru Samuel Arama  na David Gikaria wameongoza wananchi kuvamia kampuni moja katika mtaa wa Shabab na kumkamata polisi bandia, mlinzi aliyekuwa ameajiriwa na kiwanda hicho na kuruhusiwa kumiliki bunduki ili kutoa ulinzi kwa wafanyikazi ilhali yeye si afisa wa polisi. Maafisa wa polisi nao wakilazimika kuwarushia waandamanaji hao vitoza machozi na kuwatawanya, huku OCPD wa Nakuru Joshua Omukata akikiri kutomfahamu polisi huyo bwege na kuahidi kufanya uchunguzi zaidi.

.
RELATED VIDEOS