2nd November, 2016
Tapio Laukannen anapigiwa upatu kutwaa taji la msururu wa mbio za magari nchini mwaka huu iwapo atamaliza katika nafasi tano bora kwenye mkondo wa Kitengela. Na kama anavyotuarifu Moses Wakhisi, madereza 36 wanatarajiwa kutifua vumbi katika mashindano hayo.