KTN Leo Wikendi: Lucy Cheruiyot na Hosea Mwok ndio washindi mashindano ya riadha ya Madoka
22nd October, 2016
Lucy Cheruiyot na Hosea Mwok ndio washindi wa makala ya 11 ya mashindano ya riadha ya Madoka ambayo yaliandaliwa hii leo katika kaunti ya Taita Taveta huku wanriadha zaidi ya elfu mbili wakishiriki.