4th October, 2016
Dereva wa mashindano ya magari nchini Farhaaz Khan anatarajia kufanya vyema katika mkondo wa Eldoret ambao utawajumuisha zaidi ya madereva 30. Dereva huyo pia anaazimia kupunguza pengo kati yake na kiongozi wa daraja la chini la mashindano hayo Onka Rai . Mashindnao hayo yatandaliwa tarehe 8 mwezi Oktoba.