24th September, 2016
Uganda ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya raga ya wachezaji saba ya Afrika. Uganda ililaza namibia kwenye fainali za kwa alama 38-19. Kenya ilimaliza ya tatu baada ya kulaza Madagascar. Mashindano ya Safari Sevens vilevile yalianza hii leo huuku Kenya ikishinda michuano yake.