21st September, 2016
Kenya itawakilishswa na timu tofauti kwenye mashindano ya raga ya bara Afrika na mashindano ya raga ya Safari 7’s, timu ya Kenya itashiriki mashindano ya bara Afrika, Shujaa iko kwenye kundi A pamoja na Senegal na Nigeria. Timu ya Kenya Shujaa itashiriki mashindano ya Safari 7’s ambayo ni makala ya 21 ikiwa imeorodheswa kwenye kundi a pamoja na Portugal, Cape Warriors na vile vile Rwanda