14th September, 2016
Baada ya kutoshiriki katika mashindano ya olimpiki mwaka 2016, wachezaji Sinaida Aura wa mwamba Cynthia Camilla na wanarejea katika kikosi cha Kenya kinacho tarajiwa kuwakilisha Kenya katika taji la Afrika. Wachezaji wapya waliosajiliwa ni timu ya Homeboyz ikiwemo Janet Otieno, Rachel Mbogo, Sheila Chajira pamoja na wachezaji wa Mwamba nahodha wa zamani Doreen Remour na Celestine Masinde. Kate Abilla anasalia kuwa nahodha wa timu huku Philadelphia Olando wa KCB akiwa msaidizi wake. Lionesses wako katika kundi B pamoja na Uganda, Tunisia na Madagascar huku afrika kusini mabingwa wa 2015 wakiwa kundi sawa na Zimbabwe, Senegal na Namibia.