Vivian Cheruiyot na Asbel Kiprop waepuka washindi kwa mbio huko Eldoret
1st July, 2016
Siku moja baada ya kujikatia tiketi ya mashindano ya olimpiki katika mbio za mita 10000, mshindi wa nishani ya fedha katika mbio za dunia Vivian Cheruiyot pia amefuzu katika mbio za mita 5000.
Wengine waliofuzu ni Hellen Obiri na Mercy Cherono.
Asbel Kiprop naye alichukua ushindi kwenye mbio za mita 1500.