Timu ya Kenya ya wanariadha katika mashindano ya bara Afrika wafanya mazoezi
15th June, 2016
Wanariadha wa mbio fupi ambao watawakilisha Kenya katika mashindano ya bara Afrika jijini Durban Afrika Kusini wanaendelea na mazoezi katika uwanja wa kasarani kabla kuondoka nchini siku ya jumatatu. Mashindano hayo yatafanyika kati ya tarehe 22 na 26 mwezi huu.