Mchezaji Namai aliyekuwa hodari wa kandanda auza makaa kujikimu maishani
9th June, 2016
Je ni yapi haswa yanayopaswa kutekelezwa ili kuhakikisha kwamba vipaji michezoni havipotei bali vinapaliliwa kwa kiasi kikubwa. Elvis Kosgei anaarifu kisa cha Patrick Namai aliyefanya vyema katika timu ya taifa miaka ya 90’ na 80 lakini leo anauza makaa katika eneo la Langas kaunti ya Uasin Gishu.