×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Makocha wa Wakenya wapata fursa ya kupata mafunzo kutoka kwa makocha wa timu ya Arsenal

23rd May, 2016

Makocha wa Kenya watapata fursa ya kupata kuongeza ujizi kwenye fani yao baada ya kampuni ya bahati na sibu ya Sportpesa kuzindua kliniki ya kutoa mafunzo ya soka ikishirikiana na timu ya uingereza ya arsenal. Makocha hao watapata mafunzo kutoka kwa makocha wa Arsenal kwa mda wa wiki moja. Makocha zaidi ya sitini wanaratajiwa kushiriki mafunzo hayo. Waandalizi wa mafunzo hayo wamewaomba washika dau katika soka nchini kuhakikisha kwamba wanakuza soka mashinani ili kuhakikisha ndoto ya kenya kushiriki kombe la dunia mwaka wa 2022.
.
RELATED VIDEOS