×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Safaricom yazindua huduma mpya ya M-shwari

27th November, 2012

Kampuni ya mawasiliano ya safaricom imepiga jeki huduma zake za kifedha kwa kuzindua huduma mpya ya kuhifadhi fedha pamoja na kuomba mikopo. Huduma hiyo mpya kwa jina M-shwari itawawezesha wateja wa kampuni hiyo kuweka fedha katika benki pamoja na kuomba mikopo kwa kutumia simu zao za mkononi. Huduma hiyo inayotolewa kwa ushirikiano wa kampuni ya Safaricom na benki ya Commercial Bank of Africa itawawezesha wateja kuomba hadi mkopo wa shilingi alfu mia moja. Hata hivyo mikopo hiyo inapaswa kulipwa kwa muda wa siku 30.
.
RELATED VIDEOS