Jiji lageuzwa uwanja wa soka
10th November, 2012
Baada ya Gor Mahia kushindwa kutwaa taji la ligi kuu humu nchini,mashabiki wa timu hio waliamua kuandamana kwa huzuni hadi mjini.Wengi wao walikuwa na matumaini ya kwamba njaa ya miaka kumi na saba ingekamilika hii leo Lakini Thika United waliharibu sherehe yao hii leo.wengi wa mashabiki hao hawajakufa moyo na timu yao na kulingana nao,msimu ujao utakuwa msimu wa ushindi. Mashabiki wa Tusker hata hivyo itakuwa wikendi ya aina yake, baada ya kutetea taji lao, walipowanyamazisha vijana wa city kwa mabao matatu kwa bila.
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv