1st October, 2020
Baada ya kufanikiwa kuandaa mashindano ya dunia ya riadha za chipukizi wasiozidi umri wa miaka 18 mwaka 2017, Kenya sasa inajipanga kuwa mwenyeji wa awamu ya saba ya riadha za mabara ya dunia siku ya jumamosi . Waandalizi wa michuano hiyo wa wana imani mashindano hayo yatafana.